Friday, November 13, 2009

Mr's obama akijiweka fit

misoji vipi tena mbona kimya


GEMU GUMU DADA YANGU OOOOOOOOOH!

Maji taka hayo!



SWALA la msingi ni tuwewastaarabu, haya sasa hawa wamezitundika wamezidiwa sasa wanaanza kushusha mambo adharani, ni maeneo ya hapa BONGO tu wa c mbali

First lady wa US-akiwa Mazoezini

SHIGIDEEE...MAMA .SHIGIDEE-DULLY


DULLY naye ni mmbishii sana anazidi kukoma na shwala music japo kwasasa anamiliki studio ya ya Dhahabu Record.Poa komaa mpwa

MSHIRIKI WA TZ KWENYE BBA-OUT

Mshiriki Kutoka Tanzania kwenye mashindano ya BIG BROTHER AFRICA Bi.elizaberth jumapili iliyopita alitolewa katika mashindano hayo yanayofanyika huko BONDENI (SOUTH AFRIKA).Sasa sijui kama atakuja kutangaza TBC1 kwenye VUNA VUNA.

With The Obamas.....




Ma first ladies..ma'presidaaaa..na washikaji tofauti tofauti kwenye pozi la photo, kaka mkubwa wa nchi yetu NAYE ALIKUWEPO KWENYE HILO POZI

Mambo ya Fiesta 2009




Ili ni POzi la kijamaica!


Wanaume TMK kazini




WaTZ' KTK Pozi tofauti