Tuesday, November 24, 2009

TIZAMA HAPA NI BINTI GANI NI MKALI KATI YA HAWA





NI NANI ZAIDI KATI YA HAWA






KWA KWELIMIMI CJUI KAZI KWAKO

Sema Mwenyewe kuna mabint noma!





Hans kazi kwako hapo mimi sina neno kabisaaaaaa!

Mara Tunasikia mmechana mara mmerudiana VP?


ha..ha ..ha..ha, hapa ni kati ya LOrd eyes na ray c, mara unasikia wameachana mara wapo pamoja au wanatuzuga, ili kusikilizi wabongo wanasema nini. kama vp mtangaze tu ndoa kama ile ya Mpwa Mwisho... mkafanyie Nigeria, ila kwenye kazi lord eyes yupo juu sana hata Dem wake. poa ni hayo tu

TENGA AKOMALIWA NA MKUBWA WA NCHI

TENGA RAIS WA TFF UNATAKIWA KUFUTA MAAGIZO YA MKUBWA OOOOH! MAANA KAMAINDI KISHEZI, FANYA MAMBO FASTER ILI MKUU AYAONE,HIVI MAJUZI KAKA ALIMWELEZA RAIS WA TFF KUACHA KUANGALIA MASLAHI BINAFSI NASASA KUTENGENEZA JIPAJI KWA VIJANA PIA KULEGEZA MASHARTI KATIKA SOKA HASA KWENYE SWALA KUFUNGIWA KWA WACHEZEZAJI ANASEMA KWAMBA NI MSHUSHIA KIWANGO MCHEZAJI UNAPOMFUNGUNGI MIEZI SITA. PIA KAAMBIA KILA CLUB KUANZISHA VIPAJI VICHANGA KUKUZWA KWENYE KILA CLUB CHA PREMIUM HAPA BONGO, SASA KAZI KWAKO KAKA KWA SIMBA NA YANGA KWANZA.




T.I.A & I.F.M


MZUMBE UNIVERSITY&TUMAINI UNIVERSITY


TAMBUA VYUO VIKUU VY TZ


NI D.I.T NA I.I.A

TAMBUA VYUO VIKUU VY TZ

ARUSHA UNIVERSITY.

Sasa hii ni bustani au shamba?


Kama ni bustani basi nadhani itakuwa maeneo ya kiluvya..Lazima nimuulize Hans mwenda anaweza akanipatiajibu kamili, maana c mchezo mahindi ndani ya bustani, alafu bustani yenyewe aina mpangilio wowote.