Thursday, November 26, 2009

"NDANI YA NYUMBA"NAKO II NAKO


Sijawahi kupata nafasi ya kufanya nao mahojiano ili kujua kwa kina maana au chanzo cha jina Nako 2 Nako.Pamoja na hayo,wengi wanawakubali na kwa mambo mbalimbali,yakiwemo binafsi,wameshagonga vichwa vya habari mara kwa mara. Walianzia A-Town/City kabla ya kuweka kambi jijini Dar.

Hivi karibuni wamefyatua kitu kipya.Wimbo unaitwa Ndani ya Nyumba ambao kutokana na Producer wake,Hermy B(kutoka B’Hitz Music) ni wimbo wa kustarehesha zaidi kuliko kuelimisha au vitu kama hivyo.

Kitu ambacho kimekuwa kikinivutia kutoka Nako2Nako ni aina yao ya kughani.Ina utofauti fulani hivi ambao kimsingi ni muhimu.Nimewahi kusisitiza katika “kijiwe” fulani kwamba kama mtu anataka kupata mafanikio fulani katika chochote anachotaka kukifanya,ni muhimu akawa “mbunifu”.Kwenye muziki hali ni hiyo hiyo.Lazima utoke tofauti.La sivyo,watu watakusikiliza na kukuacha solemba haraka iwezekanavyo.Huna jipya.

Wasikilize Nako2Nako katika Ndani ya Nyumba

Obama-check-Out-Girl!

Unafikiri mchezo....kaka anacheki Taaaarabu mtoto alivyojaaaaliwa mashalaaH!

Nakaaya vp Nawe mbona tEEEEEh!


binti wa kimeru vp tena mambo ya music umetambaa nini maana ckuizi mtu akiona amekushaaa unasikia ninastaafu music..aaah! wakati hata albamu una...unastaafu na single ...kuweni makini

Mambo ya soccer hapa Bongo

Mambo ya figger-Kajaaliwa

hapo pia ninamwachi hans..aa comment

NO WORDS REQUIRED






It doesn't matter how many people you send this to, just do
remember, if it made you smile, your friends will smile too!




"Life is not the way it's supposed to be.. It's the way it is..
The way we cope with it, is what makes the difference.

Beyonce anapofumaniwa na Paparazi






Watu wabaya sana yaani camera za mapaparazi ni sooo..unamcheki hapo juu kifaa cha Jay'z walivyoo mphoto dem wake, kweli watu wako makini sana na kazi zao....hadi maaeneo ya tukio au sitting room kwa jay'z watu wamezama...aaaadaaah!

Tuesday, November 24, 2009

TIZAMA HAPA NI BINTI GANI NI MKALI KATI YA HAWA





NI NANI ZAIDI KATI YA HAWA






KWA KWELIMIMI CJUI KAZI KWAKO

Sema Mwenyewe kuna mabint noma!





Hans kazi kwako hapo mimi sina neno kabisaaaaaa!

Mara Tunasikia mmechana mara mmerudiana VP?


ha..ha ..ha..ha, hapa ni kati ya LOrd eyes na ray c, mara unasikia wameachana mara wapo pamoja au wanatuzuga, ili kusikilizi wabongo wanasema nini. kama vp mtangaze tu ndoa kama ile ya Mpwa Mwisho... mkafanyie Nigeria, ila kwenye kazi lord eyes yupo juu sana hata Dem wake. poa ni hayo tu

TENGA AKOMALIWA NA MKUBWA WA NCHI

TENGA RAIS WA TFF UNATAKIWA KUFUTA MAAGIZO YA MKUBWA OOOOH! MAANA KAMAINDI KISHEZI, FANYA MAMBO FASTER ILI MKUU AYAONE,HIVI MAJUZI KAKA ALIMWELEZA RAIS WA TFF KUACHA KUANGALIA MASLAHI BINAFSI NASASA KUTENGENEZA JIPAJI KWA VIJANA PIA KULEGEZA MASHARTI KATIKA SOKA HASA KWENYE SWALA KUFUNGIWA KWA WACHEZEZAJI ANASEMA KWAMBA NI MSHUSHIA KIWANGO MCHEZAJI UNAPOMFUNGUNGI MIEZI SITA. PIA KAAMBIA KILA CLUB KUANZISHA VIPAJI VICHANGA KUKUZWA KWENYE KILA CLUB CHA PREMIUM HAPA BONGO, SASA KAZI KWAKO KAKA KWA SIMBA NA YANGA KWANZA.




T.I.A & I.F.M


MZUMBE UNIVERSITY&TUMAINI UNIVERSITY


TAMBUA VYUO VIKUU VY TZ


NI D.I.T NA I.I.A

TAMBUA VYUO VIKUU VY TZ

ARUSHA UNIVERSITY.

Sasa hii ni bustani au shamba?


Kama ni bustani basi nadhani itakuwa maeneo ya kiluvya..Lazima nimuulize Hans mwenda anaweza akanipatiajibu kamili, maana c mchezo mahindi ndani ya bustani, alafu bustani yenyewe aina mpangilio wowote.

Monday, November 23, 2009

BUSTA RHYMES NDANI YA FIESTA BONGO '09


WABONGO BWANA WASEMA ETI MCHIZI AJAPAFOM FRESH KAMA WABONGO WALIVYOKAMUA, WEEEE MPWA NI KWELI

YOUNG D


DOGO KAMA UNAVYOMUONA KWA SASA YUPO FIT NA MAMBO YA HIP HOP, DOGO KAZA SANA GAME NI THOOOO, HAPA AKIWA KATIKA POZI

Hasheem yupo fit


Just a couple of weeks ago, he started his career as an NBA player. But before long, he broke his jaw in an incident involving him and his teammate, Zach Randolph. He actually suffered a ridgeline fracture in his mandible- a bone in his lower jaw.


Since the incident, his fans and well wishers have been praying for his quick recovery while his critics have also used the same opportunity to nail him down or try to elevate him. It just depends on how one looks at criticism.


I recently caught up with him, whereby, he took time to talk about his health and also to answer some of what his critics have been saying. Here is how my mini-interview with him went down…


BC: A lot of your fans and supporters have been worried about you since the jaw-breaking incident. Can you briefly tell me and of course…your fans how are you doing now and whether you are back in training and all that?


Hasheem Thabeet: Niko powa kabisa… I’m doing great. I have been back to work/practice since Monday and I am looking forward to play tonight when we play against L.A Clippers. I am a tough kid and don’t like to sit on a bench. I wouldn’t miss a game if it was my choice. But this is a professional level and coaches go with what they have been having or players that have been there before me. For now I am an additional and don’t mind playing that role.


BC: Some critics have been saying that you are not or were not ready for NBA and all that. I am sure you have heard such comments and criticism. What is your reaction?


Hasheem Thabeet: I know people have been talking and saying that I am not ready and or I should not have been drafted by Memphis and therefore suggesting I should have joined another team where there are more veterans so as to learn more and stuff. My answer to them is that; that is not or can’t work for everybody. If you may recall, Memphis Grizzlies drafted Pau Gasol. He was young and almost by himself. But eventually he ended where he is now…with a ring (Lakers).


I look at the situation differently. They drafted me for a lot of different reasons such as potential, progress, presence and production. That is what pushes to me to go out there and learn and strive to be better every day. There is a good reason they pay me $4 M per year.


So while I thank everybody for their advises, comments and criticism and try to understand those who keep doubting me or just hating for no well founded reasons, I wish to inform everyone that I am definitely making a progress and that is why I am able to survive the everyday’s routines of practices and the league itself.


BC: Thank you very much Hasheem. Wish you all the best.


Hasheem Thabeet: Thanks Jeff