Friday, March 19, 2010

Kitambo Kidogo-Mr&Mrs.J.A.Laizer

Hapa tunakumbushia mambo yetu yalivyofana huko A-Town

jackee! akiwa kwenye shughuli

Mzee laizer akiwa kwenye sherehe za kiserikali, hapo jamaa wananitizama nikifanya mambo ya misosi

mambo ya x-mass

Johnson Jackson anauza sura mamtoni

kama kawaida yake joy akiwa kwenye mabango akiuza sura

JOHNSON JACKSON-ANAWAELEKEZA MADOGO

Hapa ni johnson akiwa kwenye media akitoa maujumbe kwa madogo wenzie....mama yake naye alikuwa akimsiliza kwa makini


hapa ni mshikaji wangu na mfanyakazi mwezetu alipoondokana na ukapera na kujiunga kwenye chama cha ndoa kama laizer alivyofanya hapo nyuma kidogo. ni Mr.Martin & Mr's vanesa, ilikuwa ni tarehe, 12/12/2009 na baadaye sherehe ilifanyika katika ukumbi wa LANDMARK mzee rugarabamu hongera sana

mshikaji na mpenzi wake!

khatibu!


hans nadhani unamfahamu sana huyu mshikaji, cheki mambo yake kwasasa