Thursday, December 24, 2009

Baada ya kuona mambo hayapo sawasawa


hapa toto tundu kaamua kujipigia FEGI ili akili iwe sawa

mambo ya x-mass- kaona isiwe tabu


wazazi wametoka Out yeye afanye nini ni kujilipua tu

Tuesday, December 22, 2009

Mambo ya harusi-A'Town


Aaaah...kweli ni furaha sana. hapa kati ni Bw.& Bi.harusi jackson laizier na Nancy wanjara katika pozi la la kiharusi wakiwa na masister, Caroline laizer na sarah laizer upande wa kushoto mwa photo unazozitiza na kulia ni Shemeji yangu. Capt.R.R.wanjara. jamaani hapo ni saluuuuuti.

wacheki kwa sasa


hapa ni Capt. na Jide walipoanza mahusiano


pich hii imenifurahisha sana ebu mcheki gadner na jide walivyokuwa na sasa wako vipi hapa anasema ni miaka minne tu ya nyuma.

ponda raha mama-maana cheque ya dunia ulipewa wewe

Chukua gwara mpwa_Obama


hapa Mr.Presidaah! akimpa tano mshiKAJI WAKE YAANI-gwara 4 the people

Monday, December 7, 2009

Thursday, November 26, 2009

"NDANI YA NYUMBA"NAKO II NAKO


Sijawahi kupata nafasi ya kufanya nao mahojiano ili kujua kwa kina maana au chanzo cha jina Nako 2 Nako.Pamoja na hayo,wengi wanawakubali na kwa mambo mbalimbali,yakiwemo binafsi,wameshagonga vichwa vya habari mara kwa mara. Walianzia A-Town/City kabla ya kuweka kambi jijini Dar.

Hivi karibuni wamefyatua kitu kipya.Wimbo unaitwa Ndani ya Nyumba ambao kutokana na Producer wake,Hermy B(kutoka B’Hitz Music) ni wimbo wa kustarehesha zaidi kuliko kuelimisha au vitu kama hivyo.

Kitu ambacho kimekuwa kikinivutia kutoka Nako2Nako ni aina yao ya kughani.Ina utofauti fulani hivi ambao kimsingi ni muhimu.Nimewahi kusisitiza katika “kijiwe” fulani kwamba kama mtu anataka kupata mafanikio fulani katika chochote anachotaka kukifanya,ni muhimu akawa “mbunifu”.Kwenye muziki hali ni hiyo hiyo.Lazima utoke tofauti.La sivyo,watu watakusikiliza na kukuacha solemba haraka iwezekanavyo.Huna jipya.

Wasikilize Nako2Nako katika Ndani ya Nyumba

Obama-check-Out-Girl!

Unafikiri mchezo....kaka anacheki Taaaarabu mtoto alivyojaaaaliwa mashalaaH!

Nakaaya vp Nawe mbona tEEEEEh!


binti wa kimeru vp tena mambo ya music umetambaa nini maana ckuizi mtu akiona amekushaaa unasikia ninastaafu music..aaah! wakati hata albamu una...unastaafu na single ...kuweni makini

Mambo ya soccer hapa Bongo

Mambo ya figger-Kajaaliwa

hapo pia ninamwachi hans..aa comment

NO WORDS REQUIRED






It doesn't matter how many people you send this to, just do
remember, if it made you smile, your friends will smile too!




"Life is not the way it's supposed to be.. It's the way it is..
The way we cope with it, is what makes the difference.

Beyonce anapofumaniwa na Paparazi






Watu wabaya sana yaani camera za mapaparazi ni sooo..unamcheki hapo juu kifaa cha Jay'z walivyoo mphoto dem wake, kweli watu wako makini sana na kazi zao....hadi maaeneo ya tukio au sitting room kwa jay'z watu wamezama...aaaadaaah!

Tuesday, November 24, 2009

TIZAMA HAPA NI BINTI GANI NI MKALI KATI YA HAWA





NI NANI ZAIDI KATI YA HAWA






KWA KWELIMIMI CJUI KAZI KWAKO

Sema Mwenyewe kuna mabint noma!





Hans kazi kwako hapo mimi sina neno kabisaaaaaa!

Mara Tunasikia mmechana mara mmerudiana VP?


ha..ha ..ha..ha, hapa ni kati ya LOrd eyes na ray c, mara unasikia wameachana mara wapo pamoja au wanatuzuga, ili kusikilizi wabongo wanasema nini. kama vp mtangaze tu ndoa kama ile ya Mpwa Mwisho... mkafanyie Nigeria, ila kwenye kazi lord eyes yupo juu sana hata Dem wake. poa ni hayo tu

TENGA AKOMALIWA NA MKUBWA WA NCHI

TENGA RAIS WA TFF UNATAKIWA KUFUTA MAAGIZO YA MKUBWA OOOOH! MAANA KAMAINDI KISHEZI, FANYA MAMBO FASTER ILI MKUU AYAONE,HIVI MAJUZI KAKA ALIMWELEZA RAIS WA TFF KUACHA KUANGALIA MASLAHI BINAFSI NASASA KUTENGENEZA JIPAJI KWA VIJANA PIA KULEGEZA MASHARTI KATIKA SOKA HASA KWENYE SWALA KUFUNGIWA KWA WACHEZEZAJI ANASEMA KWAMBA NI MSHUSHIA KIWANGO MCHEZAJI UNAPOMFUNGUNGI MIEZI SITA. PIA KAAMBIA KILA CLUB KUANZISHA VIPAJI VICHANGA KUKUZWA KWENYE KILA CLUB CHA PREMIUM HAPA BONGO, SASA KAZI KWAKO KAKA KWA SIMBA NA YANGA KWANZA.




T.I.A & I.F.M