Tuesday, April 20, 2010

Nabiii tito nusii

Nabiii tito ni soo

Nabiii tito ni soo



haya soma mambo ya nabii titto...je wewe utasadiki...

Manabii hawa ni soo!


kaka huyu jamaa anaitawa tito niliwai kukutana naye kwenye mambo yetu ya jioni, hapo shekilango maeneo ya ROMBO GREEN VIEW tukikandamiza mchemsho, ndiyo akaja na sera yeye ni nabii weeeeeeeee ni ilicheka sana na kuanza kusema mambo hayo hapo kwenye vipeperushi amevianisha

Wednesday, April 14, 2010

ILIKUWA TAREHE 18/8/2009

ZAWADI HIYOOO


RITHA MALIMIRU, NANCY JACKSON, JACKSON LAIZER, NA MARTIN RUGARABAMU

Boss wetu Naibu Katibu anatukabidhi zawadi


NAIBU KATIBU, Samuel Ngatunga akitukabidhi zawadi mr&mr's.laizer zawadi

Mushi na kente Taratiiibuu

Wanabadilishana mawazo


kama kawaida watumishi wakipeana udaku kuhusu majumu ya ofisi yetu, ha ha...kutoka kushoto ni Rimoy, kati ni Bi.Wellu, na kulia ni Mzee mzima Rugarabamu

Hapa tukigonga mambo ya cheers


Hapo ni Bi.Ritha, mai mr's nancy ,jackee na kaizelege,kama kawaida mpwa wako laizer na kili

Mr.jackee na nancy






Hapo ni mr.jackson na mr's nancy jackson tukiwa kwenye sherehe za kupongezwa na wafanyakazi wenzetu, pindi tuliporudi kutokea Arusha, mara baada ya kumaliza harusi huko A_Town, wakao c vizuri vijana bila ya kuwakaribisha kwa sherehe ilyofanyika sinza.

PRESIDENT.


MAMBO MAZURI AYATAKI HARAKA MPWA, KAMA MSHIKAJI HAPO JUU KAULA...HAA..HAA

mambo ya Tatoo


Nadhani utaipenda hii tatoo..ha...ha. unaweza ukasema mimi nimepinda kumbe kuna watu wamepinda zaidi yako