Thursday, October 22, 2009

Mr.Ebbo na Boda Boda Go!


Kaka katoka mbali sana tokea enzi zile za mimi Mmsai bwana na sasa anatamba na kibao chake cha boda boda go, mimi mdogo wako nakutakia kila kheri. ila mo-kweli vipi mbona kimya sana

No comments:

Post a Comment