Friday, March 19, 2010



hapa ni mshikaji wangu na mfanyakazi mwezetu alipoondokana na ukapera na kujiunga kwenye chama cha ndoa kama laizer alivyofanya hapo nyuma kidogo. ni Mr.Martin & Mr's vanesa, ilikuwa ni tarehe, 12/12/2009 na baadaye sherehe ilifanyika katika ukumbi wa LANDMARK mzee rugarabamu hongera sana

No comments:

Post a Comment