Monday, March 8, 2010

KIBAKA KAMAMANIWA


MR.LAIZER
Huyu ni kibaka aliyekutwa akifungua kioo cha gari yangu karibu na chuo cha ustawi wa Jamii barabara ya shekilango. Alikuwa akijifanya anaokota chupa za maji zilizotumika. Akiwa ana bisi mpya mbili za bei mbaya.

Picha na habari imetumwa na Crisele Prompador

No comments:

Post a Comment