Tuesday, April 20, 2010

Manabii hawa ni soo!


kaka huyu jamaa anaitawa tito niliwai kukutana naye kwenye mambo yetu ya jioni, hapo shekilango maeneo ya ROMBO GREEN VIEW tukikandamiza mchemsho, ndiyo akaja na sera yeye ni nabii weeeeeeeee ni ilicheka sana na kuanza kusema mambo hayo hapo kwenye vipeperushi amevianisha

No comments:

Post a Comment