Wednesday, April 14, 2010

Mr.jackee na nancy






Hapo ni mr.jackson na mr's nancy jackson tukiwa kwenye sherehe za kupongezwa na wafanyakazi wenzetu, pindi tuliporudi kutokea Arusha, mara baada ya kumaliza harusi huko A_Town, wakao c vizuri vijana bila ya kuwakaribisha kwa sherehe ilyofanyika sinza.

No comments:

Post a Comment